Klabu ya Young Africans imemtumia mwandishi nguli wa habari za usajili duniani, Fabrizio Romano, kutangaza rasmi jezi zao za kimataifa zitakazotumika katika michuano ya CAF Champions League msimu wa 2026/2027.
Kupitia jukwaa lake kubwa, Romano ametumia kauli yake pendwa akisema, "Here We Go!" kutambulisha uzi huo mpya wa Wananchi, ikiwa ni mkakati kabambe wa kukuza chapa ya klabu hiyo kimataifa.
Aziz Ki
(Away Kit)
(Home Kit)
Seleman Mwalimu
(Third Kit)






Comments
Post a Comment